728x90 AdSpace

Latest News

WATANASHATI CLASSICS. Powered by Blogger.
Monday 27 June 2016

A.K.A AKATAA KUPERFOM NA KUPANDA STAGE KWENYE BET AWARDS

Drama kwenye tuzo za BET ziliendelea tena mwaka huu. Kama kawaida, Wizkid alizipa mikausho mikali kwa si tu kwa kugoma kwenda kama wengine, bali hata kuzizungumzia kabisa. Lakini imebainika pia kuwa AKA na Yemi Alade walitoa mikausho yao. Yemi hakwenda kwenye utoaji wa tuzo katika vipengele vya Best International Act: Afrika na UK. Lakini AKA yeye anadaiwa kuwa alikuwepo ukumbini hapo lakini hakupanda jukwaani kama wengine.
Diamond, Cassper Nyovest na Black Coffie walikuwepo. Kutokana na kitendo hicho kumekuwepo na mjadala mkubwa Afrika Kusini kuwa AKA hakupenda ushindi wa Black Coffee ambaye wamewahi kutupiana vijembe kwenye Twitter kipindi cha nyuma. Hata Hivyo AKA amekanusha na amempongeza DJ huyo.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: A.K.A AKATAA KUPERFOM NA KUPANDA STAGE KWENYE BET AWARDS Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top